Polisi aua wenzake saba Kapenguria, Kenya


Polisi nchini Kenya wamedhibitisha kuwa mtu aliyeshambulia
kituo cha polisi katika eneo la Kapenguria, Kaskazini Mahgharibi
mwa Kenya, na kuua maafisa watano, alikuwa ni afisa wa polisi.

Polisi nchini Kenya wamedhibitisha kuwa mtu aliyeshambulia kituo
cha polisi katika eneo la Kapenguria, Kaskazini Mahgharibi mwa
Kenya, na kuua maafisa watano, alikuwa ni afisa wa polisi.

Mamlaka nchini Kenya zimedhibitisha kuwa mtu aliyeshambulia
kituo cha polisi katika eneo la Kapenguria, Kaskazini Mahgharibi
mwa Kenya, na kuua maafisa saba, alikuwa ni afisa wa polisi.

Maafisa hao waliuawa mapema Alhamisi na mtu aliyeshambulia
kituo hicho na kuanza kupiga risasi kiholela.
Polisi wamesema kuwa mmoja wa waliouawa ni afisa
anayesimamia kituo hicho (OCS).

Kamishna wa Kaunti ya Pokot Magharibi Wilson Wanyanga
alitoa dhibitisho kwa idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika
kwamba mshambuliaji huyo alikuwa ni afisa wa polisi.

Taarifa iliyotumwa kwenye vyombo vya habari nchini Kenya
ilesema kuwa mshambuliaji huyo alimpokonya bunf=duki afisa
mmoja na kuanza kufyatua risasi kiholela huku akiwaua watu
watano na kuwajeruhi wengine kadhaa.






No comments