AJALI YA MOTO

Basi la Ratco lenye namba za usajili T192 DHW likiwa linateketea kwa moto katika kata ya Bukabwa  wilaya ni Butiama mkoa wa Mara leo,basi hilo lilikuwa linafanya safari zake kutoka  Tarime -Sirari na Mwanza chanzo cha moto huo bado hakijafahamiaka taarifa za awali kutoka kwa mashuhuda wa ajali pamoja na abiria wanasema kuwa baadhi ya malli za abiria zimeteketea kwa moto,hakuna aliyepoteza maisha .Picha na Cleo 24 News
Basi la Ratco likiwa linateketea kwa moto
Basi la Ratco likiwa linaendelea  limeteketea kwa moto  



         

No comments