blogger-disqus-facebook
  • Home
  • About
  • Contact Us

Vukatz

Ladha ya Mafanikio ni Changamoto


    • News
    • Health Care
    • Initiatives
    • Contact us
    Wahandisi 347 wafutiwa usajili

    Wahandisi 347 wafutiwa usajili

    Vero Ignatus 8/31/2016 09:57:00 am 0

    Dar-es-salaam Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) imewafutia usajili wahandisi 347 kwa makosa mbalimbali ya kimaadili katika taaluma hiyo kat...

    Waziri aeleza sababu za kununua ndege Bombadier

    Waziri aeleza sababu za kununua ndege Bombadier

    Vero Ignatus 8/31/2016 09:41:00 am 0

    Dar es Salaam.  Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali iliamua kununua ndege aina ya Bombadier Q...

    Godbless Lema Apandishwa
Mahakamani.......Aachiwa Kwa Dhamana

    Godbless Lema Apandishwa Mahakamani.......Aachiwa Kwa Dhamana

    Vero Ignatus 8/29/2016 11:05:00 pm 0

    Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amepandishwa mahakamani katika kesi mbili tofauti. Kesi ya kwanza namba 351/2016 anatuhumiwa kumtumia...

    Moto wa mkaa wamuuwa mchimba kisima

    Moto wa mkaa wamuuwa mchimba kisima

    Vero Ignatus 8/29/2016 09:29:00 am 0

    Vero Ignatus....Arusha  Mchimbaji wa kisima aliyefahamika kwa majina ya Waziri Omary (25) mkazi wa Ngaramtoni amefariki dunia kisimani wak...

    Watu wazuiwa kuingia kwenye ukumbi AICC

    Watu wazuiwa kuingia kwenye ukumbi AICC

    Vero Ignatus 8/28/2016 06:25:00 pm 0

                                                                   Vero Ignatus .......Arusha Wakazi wa Jiji la.Arusha na vuiunga vyake pamoja n...

    MKURUGENZI WA JIJI LA ARUSHA AMSIMAMISHA KAZI
AFISA MAENDELEO YA JAMII WA JIJI KWA
KUSHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAKE

    MKURUGENZI WA JIJI LA ARUSHA AMSIMAMISHA KAZI AFISA MAENDELEO YA JAMII WA JIJI KWA KUSHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAKE

    Vero Ignatus 8/28/2016 01:08:00 pm 0

    Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Ndg. Athumani J. Kihamia amempuzisha kutekeleza majukumu yake Afisa Maendeleo ya Jamii wa Jiji Bi. Mwantumu...

    Waalimu  Wacharuka Arusha

    Waalimu Wacharuka Arusha

    Vero Ignatus 8/27/2016 09:09:00 pm 0

    Vero Ignatus ..Arusha  Chama cha walimu mkoa wa Arusha waitisha maandamano ya waalimu yasiyo na kikomo kupinga uonevu wa walimu wanaotuhum...

    Waziri Nape Atengua Uteuzi wa Mjumbe wa
Kamati ya Maudhui ya TCRA

    Waziri Nape Atengua Uteuzi wa Mjumbe wa Kamati ya Maudhui ya TCRA

    Vero Ignatus 8/27/2016 09:31:00 am 0

    Paul Makonda aitwa Tume ya Haki za Binadamu
Kujieleza.....Ni kwa kauli yake aliyotoa Agosti 25
Akiwataka Polisi Wawapige Watu Wakiwakuta
Msituni

    Paul Makonda aitwa Tume ya Haki za Binadamu Kujieleza.....Ni kwa kauli yake aliyotoa Agosti 25 Akiwataka Polisi Wawapige Watu Wakiwakuta Msituni

    Vero Ignatus 8/27/2016 08:11:00 am 0

    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imesikitishwa na matamshi ya Mhe. Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam yanayokiuka m...

    Update: Majambazi Kadhaa Yauawa Katika
Mapigano na Jeshi la Polisi huko Mkuranga

    Update: Majambazi Kadhaa Yauawa Katika Mapigano na Jeshi la Polisi huko Mkuranga

    Vero Ignatus 8/26/2016 03:02:00 pm 0

    Majambazi ambao idadi yao haijajulikana wanadaiwa kuuwawa katika mapigano hayo kati yao na polisi huko Vikindu, wilaya ya Mkuranga leo. Mi...

    Godbless Lema Atiwa Mbaroni na Jeshi la Polisi

    Godbless Lema Atiwa Mbaroni na Jeshi la Polisi

    Vero Ignatus 8/26/2016 11:55:00 am 0

    Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema(CHADEMA) amekamatwa na polisi akiwa nyumbani kwake alfajiri ya leo. Meya wa Jiji la Arusha, Calist Laz...

    

Mahabusu Ajinyonga Arusha

    Mahabusu Ajinyonga Arusha

    Vero Ignatus 8/25/2016 10:03:00 pm 0

    Mahabusu aliyekuwa akishikiliwa katika kituo kikuu cha polisi jijini Arusha aliyetambulika kwa jina la Victoria Wenga (51) mkazi wa Lemara ...

    Diwani wa Chadema afikishwa Mahakamani

    Diwani wa Chadema afikishwa Mahakamani

    Vero Ignatus 8/25/2016 08:40:00 pm 0

    Vero  Ignatus Arusha Diwani wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Kata ya Sombetini,Ally Bananga(40),amepandishwa kizimbani kwa t...

    CWT Arusha yahofia
uhakiki wanafunzi hewa

    CWT Arusha yahofia uhakiki wanafunzi hewa

    Vero Ignatus 8/25/2016 10:40:00 am 0

    Rais wa chama cha walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba, ARUSHA. Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mkoa wa Arusha, kimetaka uhakiki wa wanaf...

    Waliofariki Italia waongezeka, manusura watafutwa

    Waliofariki Italia waongezeka, manusura watafutwa

    Vero Ignatus 8/25/2016 09:50:00 am 0

    Idadi ya watu waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi katikati mwa Italia mapema Jumatano imefika 247 huku manusura wakiendelea kutafutw...

    Waasi nchini Colombia wasaini mkataba wa amani

    Waasi nchini Colombia wasaini mkataba wa amani

    Vero Ignatus 8/25/2016 09:45:00 am 0

    Serikali ya Colombia na kundi la waasi la Farc wamesaini mkataba wa amani kusitisha mgogoro uliopo zaidi ya miongo mitano. Pande zote mbili ...

    Kingunge awashauri viongozi wastaafu

    Kingunge awashauri viongozi wastaafu

    Vero Ignatus 8/25/2016 08:53:00 am 0

    Mwanasiasa mkongwe nchini KINGUNGE NGOMBALE MWIRU amewashauri marais na Mawaziri wakuu wastaafu nchini kuingilia kati mvutano kati ya Cham...

    Rais Magufuli apokea taarifa ya Ujenzi wa Bomba
la mafuta kutoka Uganda hadi bandari ya Tanga.

    Rais Magufuli apokea taarifa ya Ujenzi wa Bomba la mafuta kutoka Uganda hadi bandari ya Tanga.

    Vero Ignatus 8/25/2016 08:49:00 am 0

    Makamu wa Rais wa Kampuni ya Total Afrika Mashariki Bw. Javiero Rielo amemhakikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John P...

    Jeshi La Polisi Lahusisha Mauaji ya Polisi Wanne
na Sakata la Oparesheni UKUTA.........Lapiga
Marufuku Mikutano yote ya Ndani ya Vyama vya
Siasa

    Jeshi La Polisi Lahusisha Mauaji ya Polisi Wanne na Sakata la Oparesheni UKUTA.........Lapiga Marufuku Mikutano yote ya Ndani ya Vyama vya Siasa

    Vero Ignatus 8/24/2016 08:42:00 pm 0

    KUFUATIA mauaji ya askari wanne yaliyotokea Kata ya Mbande Temeke kwa watu wanaodhaniwa ni majambazi kuvamia benki ya CRDB na kuwaua askar...

    UCHELEWESHAJI WA KESI ZA WATOTO WAKWAMISHA HAKI ZA WATOTO

    UCHELEWESHAJI WA KESI ZA WATOTO WAKWAMISHA HAKI ZA WATOTO

    Vero Ignatus 8/24/2016 10:32:00 am 0

      Vero Ignatus Arusha Ucheleweshaji wa kesi za watoto walioko katika mahabusu za watoto umetajwa kuwa chanzo cha kukwamisha haki za watoto...

    ASKARI POLISI WATATU WAUWAWA
JANA USIKU  HUKO MBAGALA MMBANDE JIJINI DAR ES
SALAAM

    ASKARI POLISI WATATU WAUWAWA JANA USIKU HUKO MBAGALA MMBANDE JIJINI DAR ES SALAAM

    Vero Ignatus 8/24/2016 07:10:00 am 0

    Taarifa iliyotufikia jana usiku inaeleza kuwa, kuna tukio la kuuwawa kwa Askari Polisi, lililotokea huko Mbagala jijini Dar. Inadaiwa kuwa a...

    Newer Posts Older Posts Home
    Subscribe to: Posts ( Atom )

    WATAZAMAJI

    Vero Ignatus

    Vero Ignatus
    Founder , Vuka Initiatives

    BLOGU MARAFIKI

    • MTAA KWA MTAA BLOG
      MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE - RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026 amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa ...
      20 hours ago
    • MICHUZI BLOG
      MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE - RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026 amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa moy...
      20 hours ago
    • Father Kidevu
      SERIKALI YAKABIDHIWA MITAMBO KUKABILI UHARIBIFU TABAKA LA OZONI - *Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Baraka Luvanda akikabidhiwa mitambo mitambo mitatu ya utambuzi wa kemikali zinazotumika kwe...
      1 day ago
    • Wazalendo 25 Blog
      Michezo : Zawadi Ligi ya Muungano Kuboreshwa - Na; Mwandishi Wetu, Unguja WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema msimu ujao wa Ligi ya Muungano utaboresh...
      5 days ago
    • LIBENEKE LA KASKAZINI
      TANESCO YAENDELEA KUIMARISHA MATUMIZI YA TEHAMA KUBORESHA HUDUMA - Na Woinde Shizza, Arusha Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kuonesha dhamira yake ya kuendana na kasi ya maendeleo ya teknolojia duniani ...
      1 week ago

    MATUKIO MUHIMU

    MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE

    Image

    RAIS SAMIA ATAKA MAGEUZI POLISI KUFUATIA RIPOTI YA HAKIJINAI NA KUPANDA KWA UHALIFU WA MITANDAO

    Image

    SERIKALI YAKABIDHIWA MITAMBO KUKABILI UHARIBIFU TABAKA LA OZONI

    Image

    KUTOKA MSIKITI WA GADDAFI: WAUMINI WATAKIWA KUTII MAMLAKA NA KULINDA AMANI YA TAIFA

    Image

    VYOMBO VYA USALAMA VYAPONGEZWA KWA KULINDA AMANI WAKATI WA MACHAFUKO YA OKTOBA 2025

    Image

    JMAT SHINYANGA YAUNDA KAMATI 17 KUIMARISHA AMANI , MSHIKAMANO NA MARIDHIANO

    Image
  • Recent

    3/recent-posts

    Comments

    3/recent-comments

    MAKTABA

    HABARI MATUKIO Afya SIASA AFYA / JAMII MAISHA Habari/Michezo Kimataifa MAGAZETI MICHEZO ARUSHA JAMII KITAIFA Mazingira ELIMU MAHAKAMANI MIUNDOMBINU Biashara Burudani JAMII/SANAA JESHI Jamii/Ukatili MUZIKI Magazeti ya leo Makala Sheria

    KUMBUKUMBU

    • ▼  2016 (648)
      • ►  March (2)
      • ►  April (42)
      • ►  May (80)
      • ►  June (55)
      • ►  July (81)
      • ▼  August (42)
        • WATANZANIA TUTHAMINI BIDHAA ZA NDANI
        • Mkuu wa Mkoa wa Arusha afungua maonyesho ya 88 Arusha
        • MIAKA 50 YA KAMPUNI YA BIMA YA BRITAM.
        • TFDA :Jukumu la kutunza afya yako ni wewe mwenyewe
        • SIMBACHAWENE:TAFITI ZOTE NA GUNDUZI LAZIMA ZIPELEK...
        • Breaking newz Bweni lateketea kwamoto Mlangarini S...
        • Msanii Shilole sasa ameamua kumuweka wazi Mpenzi w...
        • Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua kundi la kisani...
        • Kamishna Wa TRA Azindua Kampeni Ya Uhakiki Wa Namb...
        • Kampuni ya Google imezindua programu yake mpya kwa...
        • UVCCM WATOA TAMKO ARUSHA.
        • Rais Magufuli Atengua Uteuzi Wa Mkuu Wa Mkoa Arush...
        • Jella Mambo:Tunaunga mkono Ukuta Septemba mosi.
        • Neno la Mwisho la Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Nti...
        • Rais Magufuli Amteuwa Bw. Gabriel Fabian Dagarro K...
        • Askari wa Upelelezi Mwanza Auawa Baa......6 Watiwa...
        • Taarifa ya Jeshi la Polisi Kwa Vyombo Vya Habari
        • 27 WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI ARUSHA
        • VIFAHAMU VYAKULA VINAVYOONGEZA AFYA YA AKILI.
        • Diwani mbaroni kwa uchochezi.
        • Noa iliyokua imebeba magazeti yaua 5 Makanya.
        • ASKARI POLISI WATATU WAUWAWA JANA USIKU HUKO MBAG...
        • UCHELEWESHAJI WA KESI ZA WATOTO WAKWAMISHA HAKI ZA...
        • Jeshi La Polisi Lahusisha Mauaji ya Polisi Wanne n...
        • Rais Magufuli apokea taarifa ya Ujenzi wa Bomba la...
        • Kingunge awashauri viongozi wastaafu
        • Waasi nchini Colombia wasaini mkataba wa amani
        • Waliofariki Italia waongezeka, manusura watafutwa
        • CWT Arusha yahofia uhakiki wanafunzi hewa
        • Diwani wa Chadema afikishwa Mahakamani
        • Mahabusu Ajinyonga Arusha
        • Godbless Lema Atiwa Mbaroni na Jeshi la Polisi
        • Update: Majambazi Kadhaa Yauawa Katika Mapigano na...
        • Paul Makonda aitwa Tume ya Haki za Binadamu Kujiel...
        • Waziri Nape Atengua Uteuzi wa Mjumbe wa Kamati ya ...
        • Waalimu Wacharuka Arusha
        • MKURUGENZI WA JIJI LA ARUSHA AMSIMAMISHA KAZI AFIS...
        • Watu wazuiwa kuingia kwenye ukumbi AICC
        • Moto wa mkaa wamuuwa mchimba kisima
        • Godbless Lema Apandishwa Mahakamani.......Aachiwa ...
        • Waziri aeleza sababu za kununua ndege Bombadier
        • Wahandisi 347 wafutiwa usajili
      • ►  September (31)
      • ►  October (106)
      • ►  November (104)
      • ►  December (105)
    • ►  2017 (1641)
      • ►  January (157)
      • ►  February (158)
      • ►  March (150)
      • ►  April (123)
      • ►  May (183)
      • ►  June (168)
      • ►  July (160)
      • ►  August (147)
      • ►  September (167)
      • ►  October (106)
      • ►  November (71)
      • ►  December (51)
    • ►  2018 (451)
      • ►  January (90)
      • ►  February (67)
      • ►  March (78)
      • ►  April (80)
      • ►  May (54)
      • ►  June (33)
      • ►  July (9)
      • ►  August (15)
      • ►  September (9)
      • ►  October (7)
      • ►  November (8)
      • ►  December (1)
    • ►  2019 (1)
      • ►  April (1)
    • ►  2021 (23)
      • ►  August (1)
      • ►  September (3)
      • ►  October (9)
      • ►  November (5)
      • ►  December (5)
    • ►  2022 (48)
      • ►  January (3)
      • ►  February (8)
      • ►  March (8)
      • ►  April (1)
      • ►  May (4)
      • ►  June (5)
      • ►  July (1)
      • ►  August (6)
      • ►  September (4)
      • ►  October (1)
      • ►  November (2)
      • ►  December (5)
    • ►  2023 (29)
      • ►  February (4)
      • ►  March (1)
      • ►  April (1)
      • ►  May (3)
      • ►  July (8)
      • ►  August (4)
      • ►  November (3)
      • ►  December (5)
    • ►  2024 (146)
      • ►  January (2)
      • ►  February (2)
      • ►  March (4)
      • ►  April (1)
      • ►  May (22)
      • ►  June (6)
      • ►  July (18)
      • ►  August (13)
      • ►  September (20)
      • ►  October (22)
      • ►  November (35)
      • ►  December (1)
    • ►  2025 (191)
      • ►  January (18)
      • ►  February (15)
      • ►  March (3)
      • ►  April (19)
      • ►  May (33)
      • ►  June (16)
      • ►  July (14)
      • ►  August (19)
      • ►  September (17)
      • ►  October (13)
      • ►  November (2)
      • ►  December (22)
    • ►  2026 (188)
      • ►  January (20)
      • ►  February (11)
      • ►  March (3)
      • ►  April (48)
      • ►  May (106)

    MATUKIO YA JAMII

    Thursday, April 28, 2016 Vipaza Sauti Vya Bunge Vyaharibika, Bunge Lasimama kwa Dakika 30

    Image

    Watu Watatu Wanaosadikiwa Kuwa Majambazi Wauawa Katika Jaribio La Uhalifu Wilayani Chunya Mkoani Mbeya

    Image

    Thursday, 28 April 2016 Mwili wa Papa Wemba wawasili DRC

    Image

    MAISHA NA JAMII

    MABORESHO YA HAKI JINAI: KWANINI NI UPOTOSHAJI KUSEMA SERIKALI HAICHUKUI HATUA

    Mjadala unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kasi ya mabadiliko ndani ya mnyororo wa haki jinai nchini umejawa na hisia kali zinazovuka mipaka ya ukweli wa kinachofanyika sasa hivi chini ya usimamizi wa serikali kuu.   Wananchi wengi wanaodai kuwa hakuna hatua zilizochukuliwa tangu kukamilika kwa kazi ya Tume ya Haki Jinai iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan wanajikuta wakihemka kutokana na matukio ya hapa na pale, bila kuangalia taswira kubwa ya mageuzi ya kimfumo yanayoendelea kutekelezwa kwa vitendo.  Serikali haikuweka ripoti hiyo kabatini kama wanavyodai wapotoshaji, bali imeingia kazini na kuanza kufumua na kusuka upya mifumo iliyolega kwa miongo mingi ili kuleta haki inayofikika na yenye utu. Katika hatua za haraka zinazofanyika hivi sasa, mapinduzi makubwa ya teknolojia yameshaanza kushika kasi ndani ya taasisi kuu za kisheria ili kuondoa urasimu na mianya ya rushwa.   Ofisi ya Taifa ya Mashtaka kwa kushirikiana na Mamlaka ya Serikali Mtand...
    Image

    Pages

    • Home
    • About Us

    HABARI MATUKIO

    3/HABARI MATUKIO/post-per-tag

    Vukatz Initiatives (c) 2016 -2024 Vukatz All Right Reserved

    Developed by Gadiola Emanuel
    Template By Arusha Publicity | Developed By Gadiola Emanuel
    Powered by Blogger.