WAZIRI PHILIP MPANGO: AULIZA NI CHANGAMOTO GANI INAZIFANYA TAASISI HIZI ZA KIFEDHA KUTOIKOPESHA SEKTA YA KILIMO?
|
| Waziri wa fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango na Gavana wa Benki kuu nchini Tanzania Benno Ndulu wakisalimiana. |
| Waziri wa fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango akizungumza na waandishi wa habari leo katika kituo chakimataifa cha mikutano AICC leo jijini Arusha. |
| Sekretaireti ya Taasisi ya fedha wakiwa katika picha ya pamoja wa tano kutoka kulia niNaibu Katibu mkuu Wizara ya fedha na mipango Amina Shabaan,wa tano kuitoka kushoto ni Waziri wa fedha na mipango ,aliyepo kulia kwake ni Gavana wa Benki kuu nchi Tanzania Benno Ndulu. |
Baadhi ya washiriki kutoka taasisi mbalimbali za fedha wakiwa katika picha ya pamoja na waziri wa fedha na mipango Dkt. Philip Mpango katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha AICC mkoani Arusha. |
Na.Vero Ignatus Arusha.
Mkutano wa 18 wa ulioandaliwa na Benki kuu ya Tanzania ambayo imezishirikisha taasisi zote za kifedha ,mabenki,taasisi za mifuko ya jamii ,umezinduliwa rasmi leo mkoani Arusha na waziri wa fedha na Mipango , Dkt Philip Mpango
Mkutano wa 18 wa ulioandaliwa na Benki kuu ya Tanzania ambayo imezishirikisha taasisi zote za kifedha ,mabenki,taasisi za mifuko ya jamii ,umezinduliwa rasmi leo mkoani Arusha na waziri wa fedha na Mipango , Dkt Philip Mpango
Mkutano huo ambapo unafanyika kila baada ya miaka miwili umezinduliwa leo katika kituo cha
mikutano cha kimataifa Aicc unafanyika ukumbi wa simba ukiwa na dhamna ya kukaa kwa
pamoja kuzungumzia ni nanma gani Tanzania inapaswa kutumia fursa yake ya kigeografia ili kuweza kuendeleza
taifa.
“ Fursa hizi ni nyingi ukizingatia nchi ya Tanzania
ipo katikati ya bara la Afrika imenaopakana na upande wa bahari ya hindi ,hivyo nchi hii inayonafasi kubwa
sana kibiashara ya meli kutoka mashariki ya mbali China Uarabuni Afrika
kusini na Afrika ya kaskazini nchi hii twaweza kutumia fursa hii kuendeleza
fursa hii ya viwanda ambayo ndiyo dhamira kuu ya serikali hii ya awamu ya
tano.”amesema Mpango.
Tanzania tunarasilimali nzuri ikiwemo madi ya kila aina kuna maswali nimewauliza maswali
ambayo ningependa wataalamu wa fedha wajiulize:
(1) (2)wamejipangaje kuwasaidia taasisi na makampuni madogowadogo ili waweze kupata mtaji (3)sekta ya kilimo ndipo watanzania wengi walipo
wanasaidiaje sekta hii ya kilimo ili waweze kutumia ardhi hii nzuri ili tuweze kujenga uchumi wetu ukizingatia tuna vijana wenyenguvu ukizingatia ndiyo muhimili mkubwa wa uchumi wetu.
(4)Nichangamoto gani zinafanya taasisi hiziza fedhya hazikopeshi sekta za kilimo?
(1) (2)wamejipangaje kuwasaidia taasisi na makampuni madogowadogo ili waweze kupata mtaji (3)sekta ya kilimo ndipo watanzania wengi walipo
wanasaidiaje sekta hii ya kilimo ili waweze kutumia ardhi hii nzuri ili tuweze kujenga uchumi wetu ukizingatia tuna vijana wenyenguvu ukizingatia ndiyo muhimili mkubwa wa uchumi wetu.
(4)Nichangamoto gani zinafanya taasisi hiziza fedhya hazikopeshi sekta za kilimo?
Amezitakaa taasisi za fedha zenyewe zitoke ziende hadi vijijini nkuwaelezea
wananchi fursa ambazo zipo za kuwapatia wananchi mikopo ya kuendeleza shughuli zao binafsi ili waweze kujikwamua kiuchumi pia amewataka watumie vyombo vya kisasa kutoa
elimu kwa wananchi ili wananchi waelewe taasisi hizi za fedha wanaomlango wa
kuwapatia mitaji ya kuendeleza shughuli zao.
Kwa upande wa Gavana wa benki kuu nchini Tanzania Benno
Ndulu amesema kuwa kwa upande wa sekta ya fedha kitu kikubwa ni kuwaasa mabeki na taasisi za fedha kuhakikisha kuwa wamewafikia watanzania katika kuweza kuwashirikisha mchango wa kifedha amesema kwa kila sh 40% katika 60% ndiyo wanayo wao kama benki, amesema kuwa ili kuipata hiyo 60% ni kwa kupitia mitandao mingine ya kifedha ya simu kwani Sitini ipo nje ya mfumo wa kifedha .
Amesema mabenki yanaweza kutoa mkopo wenye masharti nafuu kusudi la kufanya hivi ili na wao waweze kutafuta fedha za kudumu na siyo zile za kuingiza siku moja na kutoka,amesema katika kikao kilichopita walikubaliana namna ya kuwakopesha wakulima lakini inaonekana kuwa unapokopesha lazima urudisha katika sekta ambayo fedha hazirudishwi ni sekta ya kilimo ,hata kama una pesa unaogopa kumkopesha fulani na lazima kuangalia kama taarifa za mkopaji zipo sahihi.
"Katika sekta ambayo ni ngumu kuikopesha ni sekta ya kilimo pesa hazirudi,na hata kama unafedha unaogopa kumkopesha mtu ambaye harudishi ,ndiyo maana tunaangalia tutakapomaliza kikao chetu hiki cha siku mbili tuytakuwa tumepata muafaka tufanyeje katika sekta hii ya kilimo."alisema Gavana Benno.
No comments