Kwa Picha: Moto mkubwa watishia Israel

Ndege ya jeshi la Israel ikijaribu kuzima moto karibu na Kibbutz Neve Ilan, kaskazini magharibi mwa Jerusalem, Novemba 24, 2016
Maelfu ya watu wamelazimika kukimbia makwao baada ya moto mkubwa kuendelea kuenea na kukaribia kufika katika mji wa Haifa, kaskazini mwa nchi hiyo.Haifa, Israel, Alhamisi, Nov 24, 2016
Ndege ya jeshi la Israel ikijaribu kuzima moto karibu na Kibbutz Neve Ilan, kaskazini magharibi mwa Jerusalem, Novemba 24, 2016
Misitu iliyo karibu na Jerusalem pia inatishiwa. Israel imepokea usaidizi kutoka Urusi, Uturuki, Ugiriki, Italia, Croatia na Cyprus
Moto Haifa, Israel, Alhamisi, Nov 24, 2016
Haifa, Israel, Alhamisi, Nov 24, 2016
Miti ikiteketea viungani mwa mji wa Haifa
Haifa, Israel, Alhamisi, Nov 24, 2016
Haifa, Israel, Alhamisi, Nov 24, 2016
Fire fighters work in Haifa, Israel, Thursday, Nov 24, 2016

No comments