Rais wa Korea Kusini alinunua dawa za Viagra
Kashfa nchini Korea Kusini
inayohusisha maisha ya faragha ya rais Park Geun-hye imechukua mwelekeo
usio wa kawaida huku ikidaiwa kuwa ofisi yake ilinunua dawa nyingi za
kuongeza nguvu za kiume Viagra .
Hayo yanajiri huku kukiwa na shutuma kwamba kiongozi huyo wa Korea Kusini aliruhusu urafiki mrefu kushawishi maamuzi yake kuhusu maswala ya kitaifa na kile rais huyo alichovaa.
No comments