RAIS MAGUFULI ASAINI MUSWADA WA SHERIA YA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa
iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa
ilmeeleza kuwa Rais Magufuli amesaini sheria hiyo jana tarehe 16 Novemba
2016 na kuwapongeza wadau wote kwa kufanikisha kutungwa kwake.Novemba
4 mwaka huu Rais Magufuli katika mkutano wake na wahariri wa vyombo vya
habari nchini alisema kuwa mara tu sheria hiyo itakapofikishwa kwake
ataisaini mara moja.

No comments