PICHA 6: Rais Magufuli alivyomtembelea mkewe mama Janeth Hospitalini Muhimbili

Leo November 10 2016 Rais Magufuli amewatembelea na kuwajulia hali wagonjwa waliolazwa katika wodi ya Sewahaji iliyopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam wakiwemo Waziri na Balozi Mstaafu wa Tanzania Omar Ramadhan Mapuri na Mkewe Mama Janeth Magufuli.
magu-mke2
Rais Magufuli na Waziri na Balozi Mstaafu wa Tanzania Omar Ramadhan Mapuri
img-20161110-wa0012
Rais Magufuli na Mkewe mama Janeth Magufuli
magu-mke3 magu-mke4 magu-mke5
magu-mke6

No comments