CRDB YAADHIMISHA MIAKA 20,

WAZIRI WA FEDHA DKT.PHILIPO MPANGO.


NA VERO IGNATUS  ARUSHA

SERIKALI IMEAHIDI KUWEKA  SERA NZURI NA BORA  KATIKA SEKTA YA FEDHA ILI KUWEZESHA  TAASISI ZA FEDHA KUONDOKANA NA VIKWAZO NA ZISAIDIE KUINUA UCHUMI NA KIPATO CHA WATANZANIA WANAOKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI KATIKA SEKTA YA ELIMU MIUNDOMBINU NA NYINGINE

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO DK PHILIPO MPANGO AMETOA KAULI HIYO KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA ISHIRINI YA BENKI YA CRDB  YANAYO ENDELEA JIJIJI ARUSHA NA KUHUDHURIWA NA WANAHISA WA BENKI HIYO KUTOKA MIKOA MBALIMBALI .

MWENYEKITI WA BODI YA CRDB MARTINI MMARI AMESEMA BENKI YA CRDB NI BENKI INAYO MILIKIWA NA WAZALENDO KWA ASILIMIA SITINI NA TATU HIVYO KUNA KILA SABABU YA SERIKALI KUIUNGA MKONI.

MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI HIYO DK CHARLES KIMEI AMESEMA KWA KIPINDI CHA MIAKA ISHIRINI BENKI HIYO IMEONGEZA AMANA YAKE KWA ASILIMIA MIA MOJA KITENDO KINACHO WAPA FARAJA  WANAHISA WA BENKI HIYO KWA KUWA  IMELIPA KODI KUBWA KWA SERIKALI.

No comments