RC.Gambo awataka wananchi kuchangia (CHF)



Displaying G1.JPG

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Mashaka Gambo alip[otembelea  katika kijiji cha Engaresoro ,baada ya kusikiliza changamoto mbalimbali wanazopitia na kuwachangia bati 200 kwaajili ya ujenzi wa nchumba cha upasuaji wa kituo cha afya kijijini hapo Engaresoro.

Displaying G2.JPG
 Wananchi wa kijiji Engaresero,wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Mrisho  Mashaka Gambo (hayupo pichani),alipofanya ziara katika kijiji hicho ambapo amewasisikitiza wananchi wa Engaresero kuchangia  mfuko wa bima ya afya(CHF) ilizipatikane fedha kwaajili yakununua vifaa tiba katika kituo hicho cha afya.
Na.Vero Ignatus Arusha 
















No comments