HABARI PICHA –MKUU WA WILAYA YA ARUSHA GABRIEL DAQARRO AKITOA TUZO KWA WALIMU BORA

Conversation opened. 1 read message.

View photo in message
Add caption
 
   

FwdHABARI PICHA –MKUU WA WILAYA YA ARUSHA GABRIEL DAQARRO AKITOA TUZO KWA WALIMU BORA

:






PICHA YA 1

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akikabidhi Tuzo ya Mwalimu Bora kwa Mwalimu Pili Omari Makota wa shule ya Msingi Uraki katikati ni Mkurugenzi wa Shirika la The Foundation For Tomorrow Melissa Queyquep. Tuzo za Walimu Bora ziliandaliwa na shirika lisilokua la kiserikali la The Foundation For Tomorrow  jana jijini Arusha na kufanyika katika shule ya msingi Arusha school.Picha na pamela Molel

PICHA YA 2

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akikabidhi Tuzo ya Mwalimu Bora kwa Mwalimu Regina Lekule wa shule ya Msingi Msitu wa Mbogo, katikati ni Mkurugenzi wa Shirika la The Foundation For Tomorrow Melissa Queyquep. Tuzo za Walimu Bora ziliandaliwa na shirika lisilokua la kiserikali la The Foundation For Tomorrow  jana jijini Arusha na kufanyika katika shule ya msingi Arusha school.Picha na Pamela molel


2 Attachments

IMG_0083.JPG
Zoom in
Conversation opened. 1 read message.

Zoom in


 

No comments