HABARI PICHA –MKUU WA WILAYA YA ARUSHA GABRIEL DAQARRO AKITOA TUZO KWA WALIMU BORA
| Add caption |
FwdHABARI PICHA –MKUU WA WILAYA YA ARUSHA GABRIEL DAQARRO AKITOA TUZO KWA WALIMU BORA
:
| |||
PICHA YA 1
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akikabidhi Tuzo ya
Mwalimu Bora kwa Mwalimu Pili Omari Makota wa shule ya Msingi Uraki katikati ni
Mkurugenzi wa Shirika la The Foundation For Tomorrow Melissa Queyquep. Tuzo za
Walimu Bora ziliandaliwa na shirika lisilokua la kiserikali la The Foundation
For Tomorrow jana jijini Arusha na kufanyika katika shule ya msingi
Arusha school.Picha na pamela Molel
PICHA YA 2
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akikabidhi Tuzo ya
Mwalimu Bora kwa Mwalimu Regina Lekule wa shule ya Msingi Msitu wa Mbogo, katikati
ni Mkurugenzi wa Shirika la The Foundation For Tomorrow Melissa Queyquep. Tuzo
za Walimu Bora ziliandaliwa na shirika lisilokua la kiserikali la The
Foundation For Tomorrow jana jijini Arusha na kufanyika katika shule ya
msingi Arusha school.Picha na Pamela molel
2 Attachments
Show details
|
IMG_0083.JPG

No comments