Rais wa Uganda arudi shambani

 
Rais wa Uganda arudi shambani
Rais wa Uganda arudi shambani
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amerudi shambani kwake ambapo atakuwa kwa kipindi cha juma moja akikuza kilimo mbali na kusimamia miradi ya serikali katika wilaya ya Lowero.
Rais wa Uganda na msafara wake akielekea shambani
Rais wa Uganda na msafara wake akielekea shambani
Msafara wa rais sasa utakuwa wa baiskeli kwa muda ambayo atatumia kuteka maji ili kunyunyizia mimea.
 
Rais wa Uganda
Rais wa Uganda
Kulingana na msemaji wa serikali,Museveni tayari amekuwa akiwaonyesha wakaazi jinsi ya kupanda migomba na kahawa kwa kutumia chupa za plastiki ili kunyunyizia maji.


chanzo Bbc

No comments