HUDDAH SIO MTU WA MCHEZO MCHEZO AMNYEMELEA RAYVANNY, AMWANDIKIA UJUMBE HUU
Kufuatia
kuwepo kwa tetesi kuwa ameshawahi kutoka kimapenzi na Hit maker wa
Single ya "Aiyola" Harmonize (japo wenyewe walikanusha) kutoka katika
label ya WCB, Sasa Mlimbwende kutoka Kenya Huddah amnyatia Rayvannyhit maker wa Single ya "Kwetu" na "Natafuta Kiki" pia Kutoka Label ya WCB.Ubuyu huo umekuja baada ya Rayvanny kupost Picha katika Mtandao
waInstagram na Kuandika ujumbe uliosomeka "Unahisi nini kimenifanya nizubae".Katika hali isiyotarajiwa akatokea mlimbwendehuyo na kujibu Swali hilo kwa kuandika "Ukipata hela nyingi utakuwa mzuri sana..... I'll be waiting".
Kufuatia ujumbe huo uliowatoa watu povu kupitia post hiyo kwa kusema mlimbwende huyo anamtaka kimapenzi msanii huyo.
No comments