Tazama picha mbalimbali za Mazishi ya aliyekuwa mkewe Muimbaji wa nyimbo za Injili nchini Tanzania Jackson Benty.
![]() | |
| Pichani ya Marehemu Winnie Jackson Benty enzi za uhai wake,Alizaliwa mwaka 1985 mkoani Tanga,Alifariki Tar 8/10/2016 kwa ajali Jijini Arusha,ameacha watoto wawili wote wa kiume Ibada ya mazishi ni mchungaji Bryson Lema kutoka makao makuu ya Huduma ya Ufufuo na uzima Dar-es-salaam. |
![]() |
| Nyumbani kwa Jackson Benty Muimbaji wa nyimbo za Injili nchini Tanzania(hayupo pichani) |
![]() |
| Waombolezaji kuitoka maeneo mbalimbali ndani na nje nya nchi wakiwa nyumbani kwa Muimbaji wa nyimbo za Injili nchini Tanzania Jackson Benty. |
![]() | |
| Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa Jackson Benty |
![]() |
| Muimbaji wanyimbo za Injili Jacson Benty akiwa mwenye huzuni baada ya kuupokea mwili wa aliyekuwa mkewe Winnie Jackson Bety nyumbani kwake kwa Mrombo maeneo ya bomba la jeshi Jijini Arusha akiwa amempakatia mwanae mdogo.Picha na Vero Ignatus. |
![]() |
| Add caption |
![]() | |
| Mwili wa aliyekuwa mkewe wa Mwuimbaji wa nyimbo za Injili nchini Tanzania Jackson Benty ukiwa umeshawasili nyumbani kwake kwa Mrombo maeneo ya bomba la jeshi Jijini Arusha( hapo jana).Picha na Vero Ignatus. |
![]() |
| Muimbaji wa nyimbo za Injili Jackson Benty akiweka udongo kwenye Kaburi la aliyekuwa mkewe Winnie Jackson Benty pembeni ni mtoto wao wa kwanza.Picha na Vero Ignatus. |
![]() |
| Mwili wa marehemu Winnie Jackson Benty ukiwekwa kaburini tayari kwa maziko.Picha na Vero Ignatus. |
![]() |
| Mkurugenzi wa Newlife Band Fortunatus Mabondo. ambaye pia ni mwenyekiti Chamuita mkoa wa Arusha akitaoa salamu za rambirambi kwa niamba ya umojaiti w wa waimbaji wa Mkoa wa Arusha na aliyepo nyuma yake aliyevaa miwani ni Mama Upendo mbila ambaye ni mwenyeka Chamuita Kanda ya Kaskazini.Picha na Vero Ignatus. |
![]() |
Chamuita Kanda ya Kaskazini wakiwa wanaimba wimbo maalumu katika msiba huo pamoja na Jackson Benty.Picha na Vero Ignatus.![]() |











No comments