Wednesday, April 27, 2016 Picha za jinsi katibu mpya wa EAC alivyokaribishwa

ARUSHA

Jumuiya ya Afrika Mashariki  imeendelea na hatua yakubadilishana uongozi ambapo sasa hivi Katibu Mkuu Dr Richard Sezibera  kutoka Rwanda amemaliza muda wake nakumkaribisha Katibu mpya kutoka Burundi Liberat  Mfumukeko kuendelea na nafasi hiyo   nimezinasa picha za kwanza wakati wa makabidhiano

Dr.Richard  Sezibera amabaye amemalizamuda wake akimkaribisha Katibu mpya wa EAC kutoka nchini Burundi Liberat Mfumukeko.


Dr.Richard Sezibera akisalimiana na Katibu mpya wa EAC Liberat Mfukeko kutoka nchini Uganda


Picha ya pamoja
m

No comments