Shtaka linalomkabili mbunge wa Arusha mjini na mkewe kusikilizwa Februari 3 mwaka huu
Wakili
wa upande wa mshtaka Alice Mtenga amewataja mashahidi watano
wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ambao watatoa
ushahidi katika kesi hii
Hata
hivyo mawakili upande wa utetezi wakiongozwa na John Malya umetoa
notisi ya pingamizi la awali la mdomo kuwa hati ya mashitaka ina
mapungufu kwa hiyo baadae wataiomba mahakama itupilie mbali hati hiyo.
No comments