|
|
Amir Mongi akimvisha pete mewe Munirah Bawaziri siku ya ndoa yao ,katika sherehe iliyofayika kwenye ukumbi wa Mamba Complex Marangu Kilimanjaro januari 2017,Picha na Vero Ignatus Blog.
 |
| Katibu
wa Arusha Press Club Amir Mongi akivishwa pete na mkewe Munirah
Bawaziri katika sherehe ya ndoa yao ,iliyofanyika katika ukumbi nwa
Mamba Complex Marangu Mkoani Kilimanjaro. |
|
 |
| Amiri Mongi akimkumbatia mkewe Munirah Bawazir .Picha na Vero Ignatus Blog |
Maharusi wakiwa wanapata chakula pamoja na waandishi wa habari kuroka Jiji la Arusha.Picha na Vero Ignatus Blog.
Sherehe inaendelea.Picha na Vero Ignatus Blog
Baadhi
ya waandishi wa habari kutoka Jijini Arusha wakiwa wamesimama na mmoja
wao aliyevaa gauni la njano Pamella Mollel akiwa anazungumza kwa niaba
yao.Picha na Vero Ignatus Blog.
Wakilisakata rumba katika sherehe hiyo pamoja na maharusi .Picha na Vero Ignatus Blog
 |
| MC Kiko akiwa anateta jambo na mmoja wa wazee wa upande wa bwana harusi katika sherehe hiyo,ambapo naye alikuwa msema chochote siku hiyo.Picha na Vero Ignatus Blog. |
Pongezi mbalimbali zikiendelea kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki.picha na vero Ignatus Blog.
|
|
|
|
|
|
No comments