Noa iliyokua imebeba magazeti yaua 5 Makanya.
Moshi.
Watu watano wamefariki duni kati yao wanne wamekufa
papo hapo baada ya gari aina ya Toyota Noah lililokuwa
limebeba magazeti kugongana uso kwa uso na lori aina ya
Scania.
Ajali hiyo imetokea leo saa 10:45 alfajiri katika eneo la
Alkachenje katika kijiji cha Makanya wilayani Same baada ya
gari hilo lililobeba magazeti ya kampuni ya New Habari
kugongana na lori hilo.
Gari hilo aina ya Toyota Noah ilikuwa ikitokea Jijini Dar Es
Salaam kuelekea Moshi na Arusha wakati lori hilo aina ya Scania
ilikuwa ikitokea Arusha kwenda Dar.
Mkuu wa wilaya ya Same,Rosemary Staki ameliambia gazeti hili
leo kuwa, abiria wanne walikufa papo hapo na mmoja akafia
hospitali ya wilaya ya Same wakati madaktari wakijitahidi
No comments