LEMA ARUDISHWA RUMANDE KWA MARA NYINGINE
| Gari la Magereza likiwa limewasili mahakamani likiwa na mahabusu wengine pamoja na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema.Picha zote na habari na Vero Ignatus Blog. |
| Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema akiwasili mahakamani leo kama anavyoonerkana pichani akiwa na mahabusu wengine .Picha zote na habari na Vero Ignatus Blog. |
| Baadhi ya wananchi wa Arusha wakiwa njen ya mahakama leo Jijini Arusha .Picha zote na habari na Vero Ignatus Blog. |
Baadhi ya wafuasi wa chama cha Demokrasia na maendeleo( chadema)wakiwa nje ya uzio wa mahakama leo mkoani Arusha .Picha zote na habari na Vero Ignatus Blog
Wafuasi wa chadema wakimpungia mkono mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema baada ya kutoka mahakamani kurudi mahabusu leo.Picha zote na habari na Vero Ignatus Blog
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema akiagana na mkewe na wakili wake ndani ya mahakama kabla ya kurudishwa mahabusu leo. Picha zote na habari na Vero Ignatus Blog
Mbunge wa Arusha mjini Godbless amerudishwa mahabusu imeweka pingamizi la maombi ya kuongezewa muda wa kukata rufaa , baada ya upande wa jamhuri kuweka mapingamizi mawili
Uamuzi huo lilitakiwa ulitarajiwa kutolewa na jaji Modesta Opiyo baada ya kupokea kupokea hoja za pingamizi la maombi hayao zilizotolewa na mawakili waandamizi wa Jamhurikatika shauri hilo la Lema,
Wakili upande wa Jamhuri Matheneus Marandu ameiambia mahakama kuwa maombi yaliyoletwa mahakamani hapo kutoka upande wa mshtakiwa hayajakidhi matakwa ya kisheria hivyo ameiomba mahakama kutupilia mbali maombi hayo.
| |||
No comments