Nyumba za Polisi zateketea kwa moto Arusha

 
 


Nyumba 13 za polisi zilizopo zenye watu 44 kata ya Sekei mkoani Arusha zatekete kwa moto usiku huu

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo wakati yupo eneo la tukio ameagiza familia hizo zitafutiwe mahali pa kujihifadhi huku taratibu nyingine zikifuata

kwenye nyumba ya askari polisi usiku huu.
Kamanda wa polisi mkani Arusha Charles Mkumbo amesema hadi sasa hanzo cha moto huo hakijafahamika bado.

No comments