RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA BILL GATES NA KAIMU BALOZI WA MAREKANI NCHINI
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akisalimiana
na Mwenyekiti wa tasisi ya Bill and Melinda Gates Foundation Bw. Bill
Gates aliyemtembelea na kufanya mazungumzo naye Ikulu jijini Dar es
salaam leo Agosti 10, 2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akizungumza
na Mwenyekiti wa tasisi ya Bill and Melinda Gates Foundation Bw. ill
Gates aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 10, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akiagana na
Mwenyekiti wa tasisi ya Bill and Melinda Gates Foundation Bw. Bill
Gates aliyemtembelea na kufanya mazungumzo naye Ikulu jijini Dar es
salaam leo Agosti 10, 2017. Pamoja nao ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu (kulia), Waziri wa
Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dk Charles Tizeba (wa tatu Kushoto),
Msaidizi wa rais Masuala ya diplomasia Bi. Zuhura Bundala (kushoto)
pamoja na maafisa alioongozana nao Bw. Bill Gates
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akisalimiana
na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Bi. Immi Patterson aliyemtembelea
na kufanya mazungumzo naye Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 10,
2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akiwa katika
mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Bi. Immi Patterson
aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 10, 2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli
akimsindikiza Kaimu Balozi wa Marekani nchini Bi. Immi Patterson
aliyemtembelea na kufanya mazungumzo naye Ikulu jijini Dar es salaam leo
Agosti 10, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akiagana na
Kaimu Balozi wa Marekani nchini Bi. Immi Patterson aliyemtembelea na
kufanya mazungumzo naye Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 10,
2017.PICHA NA IKULU









No comments