Niger yatangaza hali ya hatari mpakani na Mali
Serikali ya Niger imetangaza hali ya hatari katika maeneo saba yanayopakana na Mali.
Mamlaka ya Niger inawalaumuwanamgambo hao kwa kushambulia wanajeshi katika kambi ya wakimbizi.
Chini ya tangazo hilo la hali ya hatari, jeshi linaweza kufanya msako wa nyumba hadi nyumba muda wowote.
No comments