RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA MJUMBE WA KAMATI KUU NA KATBU WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA CHINA (CPC) NDUGU GUO JINLONG



Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akimkaribisha Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong Ikulu jijini Dar es salaam kwa mazungumzo leo Jumatano Machi 22, 2017 .

Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akitambulishwa kwa ujumbe aliofuatana nao Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong Ikulu jijini Dar es salaam Jumatano Machi 22, 2017 

Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli katika mazungumzo na Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong na ujumbe wake Ikulu jijini Dar es salaam Jumatano Machi 22, 2017

No comments