TASAF YAPUNGUZA HALI YA UTAPIAMLO
Wanakijiji wamiwa wamefurahi baada ya kuwaona wageni wamewatembelea katika kijiji Sing'isi mara tu ya kuwasili katika eneo hilo kama wanavyoonekana katika picha.Picha na Vero Ignatus Blog
Wanakijiji cha Sing'isi wakiwa wageni.Picha na Vero Ignatus Blog
Wanakijiji wa Sing'isi wakiwa wanawasikiliza wageni kutoka TASAF walipowatembelea kijijini hapoi.Picha na Vero Ignatus Blog
Na .Vero Ignatus Arusha.
Wanakijiji cha Sing'isi wakiwa wageni.Picha na Vero Ignatus Blog
Wanakijiji wa Sing'isi wakiwa wanawasikiliza wageni kutoka TASAF walipowatembelea kijijini hapoi.Picha na Vero Ignatus Blog
Na .Vero Ignatus Arusha.
Mradi wa
kunusuru kaya masikini waf katika kijiji cha Singisi wilaya ya Meru
umesaidia kupunguza hali ya utapiamlo kwawatoto na wazazi kutokana na wananchi
wanaonufaika kutumia fedha hizo katika kilimo cha umwagiliaji hali
inayowahakikishia upatikanaji wa chakula katika kaya zao.
Wananchi wa
Kijiji hicho wamesema kuwa kufuatia hali ngumu za uchumi zilizokua zikiwakabili
walishindwa kupata milo mitatu katika kaya zao lakini kwa sasa wanalima na
wanafuga kuku na kupata mayai ambayo hutumia katika kuboresha mlo wao
Mwakilishi
wa Tasaf kutoka Makao makuu Msangi Sitonga amesema kuwa miradi hiyo
imewasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi na kuondokana na umasikini uliokithiri
hivyo amewataka wananchi kutumia fedha hizo kwa manufaa yaliyokusudiwa ili
kutimiza lengo la mradi huo
Mwezeshaji
wa Tassaf Wilaya ya Meru Boniface Mwilenga akitoa taarifa ya mradi huo amesema
kuwa jumla ya watu 159 wamenufaika na mradi huo ambao umegusa zaidi
ya kaya ambazo kwa sasa zimeondokana na umasikini ulikithiri
No comments