Yaliojiri Mazishi ya Marehemu Abdallah Khelef Shauiri Mjaka (DULLA) Nchini Norway Jumamosi 27-2-2017 Katika Makaburi ya Kiislam Skonger.
Mtoto wa Marehemu Abdallah Khelef
Shauri (Dullah) Sofia Abdallah Khelef akiwa na shada la maua akijiandaa
kuweka katika kaburi la Baba yake akiongozwa na Mama yake mzazi, maziko
hayo yamefanyika Nchini Norway jumamosi 27-2-2017 katika makaburi ya
Kiislam Skonger na kuhudhuriwa na Watanzania wanaoishi norway na
marafiki kutoka jirani na nchini hiyo waliweza kuhudhuria mazishi hayo
yaliofanyika kwa taratibu zote za kisheria ya kiislam Mwenyenzi mungu
ailaze pema peponi roho ya marememu ameen.
Mtoto wa marehemu akiweka shada la maua katika kaburi la baba ake.







No comments