blogger-disqus-facebook
  • Home
  • About
  • Contact Us

Vukatz

Ladha ya Mafanikio ni Changamoto


    • News
    • Health Care
    • Initiatives
    • Contact us
    Update: Majambazi Kadhaa Yauawa Katika
Mapigano na Jeshi la Polisi huko Mkuranga

    Update: Majambazi Kadhaa Yauawa Katika Mapigano na Jeshi la Polisi huko Mkuranga

    Vero Ignatus 8/26/2016 03:02:00 pm 0

    Majambazi ambao idadi yao haijajulikana wanadaiwa kuuwawa katika mapigano hayo kati yao na polisi huko Vikindu, wilaya ya Mkuranga leo. Mi...

    Godbless Lema Atiwa Mbaroni na Jeshi la Polisi

    Godbless Lema Atiwa Mbaroni na Jeshi la Polisi

    Vero Ignatus 8/26/2016 11:55:00 am 0

    Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema(CHADEMA) amekamatwa na polisi akiwa nyumbani kwake alfajiri ya leo. Meya wa Jiji la Arusha, Calist Laz...

    

Mahabusu Ajinyonga Arusha

    Mahabusu Ajinyonga Arusha

    Vero Ignatus 8/25/2016 10:03:00 pm 0

    Mahabusu aliyekuwa akishikiliwa katika kituo kikuu cha polisi jijini Arusha aliyetambulika kwa jina la Victoria Wenga (51) mkazi wa Lemara ...

    Diwani wa Chadema afikishwa Mahakamani

    Diwani wa Chadema afikishwa Mahakamani

    Vero Ignatus 8/25/2016 08:40:00 pm 0

    Vero  Ignatus Arusha Diwani wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Kata ya Sombetini,Ally Bananga(40),amepandishwa kizimbani kwa t...

    CWT Arusha yahofia
uhakiki wanafunzi hewa

    CWT Arusha yahofia uhakiki wanafunzi hewa

    Vero Ignatus 8/25/2016 10:40:00 am 0

    Rais wa chama cha walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba, ARUSHA. Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mkoa wa Arusha, kimetaka uhakiki wa wanaf...

    Waliofariki Italia waongezeka, manusura watafutwa

    Waliofariki Italia waongezeka, manusura watafutwa

    Vero Ignatus 8/25/2016 09:50:00 am 0

    Idadi ya watu waliofariki kutokana na tetemeko la ardhi katikati mwa Italia mapema Jumatano imefika 247 huku manusura wakiendelea kutafutw...

    Waasi nchini Colombia wasaini mkataba wa amani

    Waasi nchini Colombia wasaini mkataba wa amani

    Vero Ignatus 8/25/2016 09:45:00 am 0

    Serikali ya Colombia na kundi la waasi la Farc wamesaini mkataba wa amani kusitisha mgogoro uliopo zaidi ya miongo mitano. Pande zote mbili ...

    Kingunge awashauri viongozi wastaafu

    Kingunge awashauri viongozi wastaafu

    Vero Ignatus 8/25/2016 08:53:00 am 0

    Mwanasiasa mkongwe nchini KINGUNGE NGOMBALE MWIRU amewashauri marais na Mawaziri wakuu wastaafu nchini kuingilia kati mvutano kati ya Cham...

    Rais Magufuli apokea taarifa ya Ujenzi wa Bomba
la mafuta kutoka Uganda hadi bandari ya Tanga.

    Rais Magufuli apokea taarifa ya Ujenzi wa Bomba la mafuta kutoka Uganda hadi bandari ya Tanga.

    Vero Ignatus 8/25/2016 08:49:00 am 0

    Makamu wa Rais wa Kampuni ya Total Afrika Mashariki Bw. Javiero Rielo amemhakikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John P...

    Jeshi La Polisi Lahusisha Mauaji ya Polisi Wanne
na Sakata la Oparesheni UKUTA.........Lapiga
Marufuku Mikutano yote ya Ndani ya Vyama vya
Siasa

    Jeshi La Polisi Lahusisha Mauaji ya Polisi Wanne na Sakata la Oparesheni UKUTA.........Lapiga Marufuku Mikutano yote ya Ndani ya Vyama vya Siasa

    Vero Ignatus 8/24/2016 08:42:00 pm 0

    KUFUATIA mauaji ya askari wanne yaliyotokea Kata ya Mbande Temeke kwa watu wanaodhaniwa ni majambazi kuvamia benki ya CRDB na kuwaua askar...

    UCHELEWESHAJI WA KESI ZA WATOTO WAKWAMISHA HAKI ZA WATOTO

    UCHELEWESHAJI WA KESI ZA WATOTO WAKWAMISHA HAKI ZA WATOTO

    Vero Ignatus 8/24/2016 10:32:00 am 0

      Vero Ignatus Arusha Ucheleweshaji wa kesi za watoto walioko katika mahabusu za watoto umetajwa kuwa chanzo cha kukwamisha haki za watoto...

    ASKARI POLISI WATATU WAUWAWA
JANA USIKU  HUKO MBAGALA MMBANDE JIJINI DAR ES
SALAAM

    ASKARI POLISI WATATU WAUWAWA JANA USIKU HUKO MBAGALA MMBANDE JIJINI DAR ES SALAAM

    Vero Ignatus 8/24/2016 07:10:00 am 0

    Taarifa iliyotufikia jana usiku inaeleza kuwa, kuna tukio la kuuwawa kwa Askari Polisi, lililotokea huko Mbagala jijini Dar. Inadaiwa kuwa a...

    Noa iliyokua imebeba magazeti yaua 5 Makanya.

    Noa iliyokua imebeba magazeti yaua 5 Makanya.

    Vero Ignatus 8/23/2016 11:47:00 pm 0

    Moshi.  Watu watano wamefariki duni kati yao wanne wamekufa papo hapo baada ya gari aina ya Toyota Noah lililokuwa limebeba magazeti kugong...

    Diwani mbaroni kwa uchochezi.

    Diwani mbaroni kwa uchochezi.

    Vero Ignatus 8/23/2016 11:37:00 pm 0

    Masaa machache baada ya Kamanda mkuu wa polisi Charles Mkumbo kutangaza kuwepo kwa kikundi kinachotaka kufanya vurugu mkoani hapo ,polisi...

    VIFAHAMU VYAKULA VINAVYOONGEZA AFYA YA AKILI.

    VIFAHAMU VYAKULA VINAVYOONGEZA AFYA YA AKILI.

    Vero Ignatus 8/23/2016 04:41:00 pm 0

    Hivi ni baadhi ya vyakula vya kuongeza afya ya Akili. Na Ferdinand Shayo,Arusha. Afya ni hali ya kuwa na uzima kimwili,kiakili na kijami...

    27 WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI ARUSHA

    27 WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI ARUSHA

    Vero Ignatus 8/23/2016 11:35:00 am 0

    Kutokana na majanga ya  kuungua moto kwa shule za sekondari katika wa Mkoni Arusha    jeshi la polisi  linawashikilia washukiwa wapatao 27...

    Taarifa ya Jeshi la Polisi Kwa Vyombo Vya Habari

    Taarifa ya Jeshi la Polisi Kwa Vyombo Vya Habari

    Vero Ignatus 8/22/2016 04:23:00 pm 0

    Katika siku za hivi karibuni, kumekuwepo na mitazamo tofauti miongoni mwa jamii kufuatia kuonekana kwa askari polisi wakifanya mazoezi kat...

    Askari wa Upelelezi Mwanza Auawa Baa......6
Watiwa Mbaroni, RPC Msangi Anena

    Askari wa Upelelezi Mwanza Auawa Baa......6 Watiwa Mbaroni, RPC Msangi Anena

    Vero Ignatus 8/22/2016 08:33:00 am 0

    Kwamba tarehe 21.08.2016 majira ya 10:00 usiku katika eneo la club ya villa park resort kata ya kirumba wilaya ya ilemela mkoa wa mwanza, as...

    Rais Magufuli Amteuwa Bw. Gabriel Fabian
Dagarro Kuwa Mkuu Wa Wilaya Ya Arusha

    Rais Magufuli Amteuwa Bw. Gabriel Fabian Dagarro Kuwa Mkuu Wa Wilaya Ya Arusha

    Vero Ignatus 8/22/2016 08:22:00 am 0

    Neno la Mwisho la Mkuu wa Mkoa wa Arusha
Felix Ntibenda

    Neno la Mwisho la Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Ntibenda

    Vero Ignatus 8/22/2016 08:11:00 am 0

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha aliyeondolewa, Felix Ntibenda amekabidhi ofisi huku akitoa neno la mwisho la kuwakaribisha Kigoma baadhi ya maofisa...

    Jella Mambo:Tunaunga mkono Ukuta Septemba mosi.

    Jella Mambo:Tunaunga mkono Ukuta Septemba mosi.

    Vero Ignatus 8/19/2016 11:04:00 am 0

    Kamati Kuu ya Chadema wakishikana mikono kuonyesha mshikamano. CHAMA cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kanda ya kati kimesema kuwa ki...

    Rais Magufuli Atengua Uteuzi Wa
Mkuu Wa Mkoa Arusha Felix Ntibenda,amteua
Mrisho Gambo Kuwa Mkuu Wa Mkoa

    Rais Magufuli Atengua Uteuzi Wa Mkuu Wa Mkoa Arusha Felix Ntibenda,amteua Mrisho Gambo Kuwa Mkuu Wa Mkoa

    Vero Ignatus 8/18/2016 11:04:00 am 0

    Mkuu wa Mkoa mpya wa Arusha,Mrisho Gambo aliyeteuliwa na Rais,kuapishwa kesho ijumaa Ikulu jijini Dar *** RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tan...

    UVCCM WATOA TAMKO ARUSHA.

    UVCCM WATOA TAMKO ARUSHA.

    Vero Ignatus 8/17/2016 02:28:00 pm 0

    Mbunge wa wanawake Mkoa wa Arusha Catherine Magige akiwa ameongozana na mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Arusha Lengai Ole Sabaya pamoja na ...

    Kampuni ya Google imezindua programu yake mpya
kwa jina DUO.

    Kampuni ya Google imezindua programu yake mpya kwa jina DUO.

    Vero Ignatus 8/17/2016 08:33:00 am 0

    Programu hiyo ni jibu la Google kwa programu nyengine kama ile ya Apple ya Face Time,Skype ya Microsoft na Facebook messanger. Haina tofau...

    Newer Posts Older Posts Home
    Subscribe to: Comments ( Atom )

    WATAZAMAJI

    Vero Ignatus

    Vero Ignatus
    Founder , Vuka Initiatives

    BLOGU MARAFIKI

    • MTAA KWA MTAA BLOG
      MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA - Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo yaliyofanyi...
      3 hours ago
    • MICHUZI BLOG
      MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA - Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo yaliyofanyik...
      3 hours ago
    • Father Kidevu
      WAKALA WA VIPIMO WADHAMIRIA KUTOKOMEZA LUMBESA - *Sehemu ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wakala wa Vipimo (WMA) wakiimba wimbo wa ‘Mshikamano Daima’ kabla ya kuanza kikao cha 37 cha Baraza hilo, k...
      14 hours ago
    • Wazalendo 25 Blog
      Taarifa Binafsi : PDPC Yatoa Onyo Kali: Faini Hadi Bilioni 5 kwa Taasisi Zitakazokaidi Usajili wa Taarifa Binafsi - Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili wa hiari kwa taasisi zinazokusanya na kuchaka...
      1 day ago
    • LIBENEKE LA KASKAZINI
      MAKALLA AHIMIZA USHIRIKIANO UTEKELEZAJI WA MIRADI YA BARABARA, TANROADS YAOMBA BILIONI 20 KWA TAA ARUSHA - Na Woinde Shizza,Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arunsha, Amos Makalla amehimiza ushirikiano wa karibu kati ya wananchi, wabunge, wenyeviti wa halmashauri, meya ...
      2 weeks ago

    MATUKIO MUHIMU

    Kesi ya Urais nchini Kenya, maamuzi leo

    Image

    AJALI YA MOTO

    Image

    DKT MWIGULU:CHUKUENI HATUA KALI ZA KISHERIA KWA WANAOCHEZEA VYANZO NA MIUNDOMBINU YA MAJI

    Image

    Watoto na wanawake Gaza wako taabani kwa njaa huku, ukatili na kukosa huduma za msingi vikishamiri: UN

    Image

    Mahakama Yagoma Kupokea Bangi Iliyokutwa Nyumbani kwa Wema Sepetu

    Image

    Dkt. Mkoko: Wanablog Zingatieni Habari za Uchaguzi Zichapishwe kwa Ukweli na Uthibitisho.

    Image
  • Recent

    3/recent-posts

    Comments

    3/recent-comments

    MAKTABA

    HABARI MATUKIO Afya AFYA / JAMII SIASA MAISHA Habari/Michezo Kimataifa MAGAZETI MICHEZO ARUSHA JAMII KITAIFA Mazingira ELIMU MAHAKAMANI MIUNDOMBINU Biashara Burudani JAMII/SANAA JESHI Jamii/Ukatili MUZIKI Magazeti ya leo Makala Sheria

    KUMBUKUMBU

    • ►  2016 (648)
      • ►  March (2)
      • ►  April (42)
      • ►  May (80)
      • ►  June (55)
      • ►  July (81)
      • ►  August (42)
      • ►  September (31)
      • ►  October (106)
      • ►  November (104)
      • ►  December (105)
    • ►  2017 (1641)
      • ►  January (157)
      • ►  February (158)
      • ►  March (150)
      • ►  April (123)
      • ►  May (183)
      • ►  June (168)
      • ►  July (160)
      • ►  August (147)
      • ►  September (167)
      • ►  October (106)
      • ►  November (71)
      • ►  December (51)
    • ►  2018 (451)
      • ►  January (90)
      • ►  February (67)
      • ►  March (78)
      • ►  April (80)
      • ►  May (54)
      • ►  June (33)
      • ►  July (9)
      • ►  August (15)
      • ►  September (9)
      • ►  October (7)
      • ►  November (8)
      • ►  December (1)
    • ►  2019 (1)
      • ►  April (1)
    • ►  2021 (23)
      • ►  August (1)
      • ►  September (3)
      • ►  October (9)
      • ►  November (5)
      • ►  December (5)
    • ►  2022 (48)
      • ►  January (3)
      • ►  February (8)
      • ►  March (8)
      • ►  April (1)
      • ►  May (4)
      • ►  June (5)
      • ►  July (1)
      • ►  August (6)
      • ►  September (4)
      • ►  October (1)
      • ►  November (2)
      • ►  December (5)
    • ►  2023 (29)
      • ►  February (4)
      • ►  March (1)
      • ►  April (1)
      • ►  May (3)
      • ►  July (8)
      • ►  August (4)
      • ►  November (3)
      • ►  December (5)
    • ►  2024 (146)
      • ►  January (2)
      • ►  February (2)
      • ►  March (4)
      • ►  April (1)
      • ►  May (22)
      • ►  June (6)
      • ►  July (18)
      • ►  August (13)
      • ►  September (20)
      • ►  October (22)
      • ►  November (35)
      • ►  December (1)
    • ►  2025 (192)
      • ►  January (19)
      • ►  February (15)
      • ►  March (3)
      • ►  April (19)
      • ►  May (33)
      • ►  June (16)
      • ►  July (14)
      • ►  August (19)
      • ►  September (17)
      • ►  October (13)
      • ►  November (2)
      • ►  December (22)
    • ▼  2026 (34)
      • ►  January (20)
      • ►  February (11)
      • ▼  March (3)
        • RAIS SAMIA AWASILI MKOANI ARUSHA KWA ZIARA YA SIKU...
        • DKT MWIGULU:CHUKUENI HATUA KALI ZA KISHERIA KWA WA...
        • Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofi...

    MATUKIO YA JAMII

    Thursday, April 28, 2016 Vipaza Sauti Vya Bunge Vyaharibika, Bunge Lasimama kwa Dakika 30

    Image

    Watu Watatu Wanaosadikiwa Kuwa Majambazi Wauawa Katika Jaribio La Uhalifu Wilayani Chunya Mkoani Mbeya

    Image

    Thursday, 28 April 2016 Mwili wa Papa Wemba wawasili DRC

    Image

    MAISHA NA JAMII

    Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Marehemu Mhe. William v. Lukuvi ukiwasili nyumbani kwake Area D jijini Dodoma kutoka Hospitali ya Benjamini Mkapa tarehe 26 Machi 2026, Area D jijini Dodoma.
    Image

    Pages

    • Home
    • About Us

    HABARI MATUKIO

    3/HABARI MATUKIO/post-per-tag

    Vukatz Initiatives (c) 2016 -2024 Vukatz All Right Reserved

    Developed by Gadiola Emanuel
    Template By Arusha Publicity | Developed By Gadiola Emanuel
    Powered by Blogger.