 |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Said
Meck Sadik katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro KIA mara baada ya
kumaliza ziara yake ya kikazi ya siku tatu mkoani humo.
|
 |
| Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro
Said Meck Sadik wakati akielekea kupanda ndege katika uwanja wa Ndege wa
kimataifa wa Kilimanjaro KIA mara baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi ya
siku tatu mkoani humo. |
 |
URais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono na kuwashukuru
viongozi mbalimbali wa Serikali, Kidini na Taasisi mbalimbali waliomsindikiza
katika katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro KIA mara baada ya kumaliza
ziara yake ya kikazi ya siku tatu mkoani humo. PICHA NA IKULU
|
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 02 Mei 2017, amemaliza
ziara ya siku Tatu mkoani Kilimanjaro, ambapo akiwa mkoani hapa pamoja na mambo
mengine alikuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani -
Mei Mosi.
Katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa Kilimanjaro - KIA, Rais Magufuli ameagwa na viongozi
mbalimbali wa mkoa huo wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Said
Mecki Saidick.
No comments