MWENYEKITI WA CCM DKT MAGUFULI AFUNGUA RASMI MKUTANO WA KAMATI KUU DODOMA


 Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akipokewa na Katibu Mkuu wa CCM,Abdulrahman Kinana alipowasili Makao Makuu ya CCM, mjiniDodoma leo kuendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM.

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Maguguli akiwana Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Philip Mangula (kushoto) kwenye chumba cha mapumziko kabla ya kuanza kikaocha Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma leo. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Zanzibar Vuai Ali Vuai na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein 

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulraman Kinana akishauriana jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma leo. Kulia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idi

 Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akiwa na viongozi wengine wa Chama wakati wakisubiri kuingia ukumbini kwenye kikao cha Kamati Kuu ya CCM,leo mjini Dodoma

 Baadhi ya Maofisa wa Chama wakiwa ukumbini wakati wa kikao hicho

 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Stephen Wasira na William Lukuvi wakipitia makabrasha kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma leo

 Wajumbe wa Sekretarieti wakiwa ukumbi kusubiri kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma

 Wajumbe wa Kamati Kuu Jason Rweikiza (kushoto) na Alhaji Adan Kimbisa wakibadlishana mawazokabla ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM kuanza mjini Dodoma leo

 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Hussein Mwinyi na Jerry Silaa, wakibadilishana ma wazokabla ya kikao hicho kuanza

 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdallah Bulembo na Shamsi Vuai Nahodha wakibadilishana mawazo kabla ya kikao hicho kuanza leo mjini Dodoma. 

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiingia ukumbini

 Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli akiwasili ukumbini kuendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma leo. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM-Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara PhilipMangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Zubeir Ali Maulidikabla ya kuanza kikao hicho. Katikati ni Spika wa Bunge Job Ndugai 

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitoa utangulizi kumpa nafasi Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk JohnMagufulikufungua na kuongoza kikaocha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma. Kushoto ni Dk. Shein na Kulia ni Mangula.

 Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye kikao hicho. Kushoto ni Katibu wa NEC, Oganaizesheni Mohamed Seif Khatib na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai 

 Mwenyekiti wa CCM,Rais Dk John Magufuli akiendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk John Magufuli na viongozi wenzake wa meza kuu, wakifurahia jambo wakati wa kikao hicho cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma. (Picha zote na Bashir Nkoromo

No comments