Nyuki Mabingwa Qambalo CUP Karatu
Na.Vero Ignatus.. Karatu.
TIMU
ya soka ya Nyuki ya Mang'ola wilayani Karatu mkoa wa Arusha , juzi
imetwaa ubingwa wa Soka katika michuano ya Qambalo CUP iliyoandaliwa na
mbunge wa jimbo hilo,Willy Qambalo baada ya timu ya mwendokasi magoli
2-1.Wakicheza kwa kushambulia, nahodha wa timu ya Nyuki Sadamu Juma alifunga goli la pili dakika ya 33 kwa shuti kali goli lililodumu hadi mwisho wa mchezo.
Katika
michuano hiyo, timu 12 zilipewa zawadiu ya seti ya jezi na mipira baada
ya kuingia robo fainali katika michezo iliyochezwa kwenye kata zao.
Akizungumza
wakati wa kukabidhi zawadi, Qambalo alipongeza washindi na kuahidi timu
bingwa na mshindi wa pili watapata fursa ya kutembelea bungeni Dodoma.![]() |
Katibu na Mbunge wa Karatu, Stivin Siay akikabidhi zawadi ya seti ya jezi kwa
nahodha wa timu ya beach boys baada ya kushika nafasi ya tatu.
![]() |
| Mwenyekiti wa baraza la madiwani wa halamashauri ya Karatu Jubilate akikabidhi zawadi kwa washindi hao. |
![]() |



No comments