UHURU FM WAANZA LEO KUMBUKIZI YA BABA WA TAIFA KWA KUSAIDIA YATIMA KATIKA KAMPENI YAO YA 'GUSA MAISHA YAKE'


 Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali, akikabidhi msada wa vitu mbalimbali ikiwemo vyakula kwa Msimamizi Mkuu wa Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Hassani Hamis, Wafanyakazi wa Uhuru FM walipofika kituoni hapo, Sinza Jijini Dar es Salaam, leo, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere. kulia ni Mtangazaji wa Uhuru FM Aggrey Manzi na wanne kulia ni Meja Rasilimali Watu na Utumishi wa Uhuru FM Paul Mng'ong'o. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

SAFARI KUTOKA OFISI ZA UHURU FM MTAA WA KARIAKOO NA UKAMI KWENDA SINZA ILIPOANZA

 Wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa tayari kupanda basi kwa ajili ya safari ya kwenda kwenye Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Sinza Jijini Dar es Salaam, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa


 Wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa tayari kupanda basi kwa ajili ya safari ya kwenda kwenye Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Sinza Jijini Dar es Salaam, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa

 Mpihapicha wa Uhuru FM Online TV akiwajibika wakati wa safari hiyo kwenda Sinza

 Dereva akiwa tayari kwa safari


Wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa katika basi kwenda Sinza baadhi yao wakitaniana kidogo

 Wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa katika basi kwa mapozi mbalimbali kwa ajili ya safari ya kwenda kwenye Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Sinza Jijini Dar es Salaam, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa

 "NDIYO TUMEANZA SAFARI" Murugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali (kulia) akiwasiliana, wakati yeye na wafanyakazi wenzake wa Uhuru FM wakiwa katika basi kwa ajili ya safari ya kwenda kwenye Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Sinza Jijini Dar es Salaam, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa

 Steven Mhina Dungumalo (kushoto) akionekana kuwa mwenye furaha  wakati yeye na wafanyakazi wenzake wa Uhuru FM wakiwa katika basi kwa ajili ya safari ya kwenda kwenye Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Sinza Jijini Dar es Salaam, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa. Pamoja naye ni Furaha Ruhende

 Mhariri wa habari wa Uhuru FM Pius Ntiga (kulia) ambaye alitangulia kuwasili kwenye kituo hicho cha kulele watoto yatima na wasiokuwa chini ya malezi ya wazazi wao, akiwa tayari kupokea wafanyakazi wenzake mda mfupi kabla hawajawasili. Kituo hicho cha kulelea watoto kipo mtaa wa Ngamia, Sinza

 Timu ya wafanyakazi wa Uhuru FM wakionekana baadhi yao kutafakari jinsi watakavyofanikisha utoaji msaafa kwa watoto wa kituo hicho cha kulelea watoto, Sinza

 DJ Machachari wa Uhuru FM Dast Edie akitia pozi baada ya kushuka kwenye basi

 Mtangazaji wa Uhuru FM Sigori akishuka na furushi la zawadi

 Angel Akilimali na mwenzake baada ya kushuka kwenye gari

 Kituo cha CHAKUWAMA

 Wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa na wadau wengine nje ya kituo hicho wakisubiri kukaribishwa

 Mwandishi wa Channel Ten akisalimiana na Mwandishi wa Uhuru FM Joyce Njarabi baada ya kukutana kwenye eneo la tukio. kulia ni mwandishi wa Uhuru Publications Ltd, Njumai Ngota na kushoto ni Steven Mhina wa Uhuru FM


 Mwandishi wa Channel Ten Said Makala akinong'onezwa jambo na Sheila Simba wa Uhuru FM wakati wa shughuli hiyo. Kushoto ni Steven Mhina wa Uhuru FM

 Vitu mbalimbali vikiwemo vyakula vikiwa vimeandaliwa kwa ajili ya msaada huo

 Watangazaji wa Uhuru FM Steven Mhina na Sheila Simba wakiwa tayari kutangaza Mbashara tukio hilo la  utoaji msaada

 Msimamizi Mkuu wa Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Hassani Hamis (kushoto) akizungumza kabla ya kukabidhiwa msaana huo

 Mwenyekiti wa maandalizi ya utoaji msaada huo Joyce Njarabi wa Uhuru FM akizungumza kabla ya makabidhiaano ya msaada huo

 Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akizungumza kabla ya kukabidhi msaada huo

 Mmoja wa watangazaji wa Uhuru FM akiwa amembeba mtoto wa kituo hicho cha kulelea watoto

 Baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa na watoto wa kituo hicho cha kulelea watoto

 Furaha Ruhende wa Uhuru FM akiburudika muziki na watoto wa kituo hicho

 Mmoja wa watoto wa kituo hicho akisinzia kwa raha zake wakati amebebwa na mfanyakazi wa Uhuru FM

 Baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa na watoto wa kituo hicho cha kulelea watoto

 Baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa na watoto wa kituo hicho cha kulelea watoto

 Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akiwa na mtoto wa kituo hicho 

 Cesy Jeremiah wa Uhuru FM akipiga stori na mtoto wa kituo hicho

 Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akimfurahia mtoto wa kituo hicho

 Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akimfurahia mtoto wa kituo hicho

 Fuaraha ya kusaidia watoto yatima 

 Baadhi ya wafaanyakazi wa Uhuru FM wakijipa picha ili kubaki na kumbukumbu ya kutembelea kituo hicho cha kuelea watoto

 Mmoja wa waliolelewa na kituo hicho tangu wakiwa watoto wadogo, Najma Ajuja (15) akizungumza wakati wa kituo kukanidhiwa msaada huo 

 Furaha Ruhende wa Uhuru FM akiwa amempa simu yake kuifurahia mtoto wa kituo hicho

 Pius Ntiga na Wenzake wakipata picha kwenye kituo hicho

 Uongozi wa Uhuru FM ukiwa tayari kukabidhi msada huo

 Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akikabidhi msada wa vitu mbalimbali ikiwemo vyakula kwa Msimamizi Mkuu wa Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Hassani Hamis, Wafanyakazi wa Uhuru FM walipofika kituoni hapo, Sinza Jijini Dar es Salaam, leo, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere. kulia ni Mtangazaji wa Uhuru FM Aggrey Manzi. 

 uongozi wa Uhuru FM ukikabidhi Watoto wa kituo hicho baadhi ya vitu vya msaada

 Watoto wa kituo hicho wakienda kuhifadhi baadhi ya vitu ambavyo Uhuru Fm ilikabidhi

 Wafanyakazi wa Uhuru FM wakipeleka eneo la kuhifadhi baada ya makabidhiano ya msaada huo




 Mtoto wa kituo hicho akiufurahia msaada wa Uhuru FM




 Mtoto wa Kituo hicho akifurahia msaada uliotolewa na Uhuru FM

 Watoto wakishiriki kubeba zawadi

 Meneja rasiliamali watu na Utumishi wa Uhuru FM Paul Mng'ng'o akizungumza na Watangazaji wa Uhuru FM Sheila Simba na Steven Mhina baada ya Uhuru Fm kukabidhi msaada huo


No comments