Songa Fc yatinga fainali ligi ya mkoa wa Manyara
Timu ya Songa Fc,Pamoja na Mererani Fc wakiwa wanasalimiana kabla ya Mechi kuanza katika uwanja wa shekhe Amri Abeid.Picha na Vero Ignatus Blog
Timu ya Songa Fc wakiwa katika Picha ya Pamoja wakiomba dua Kwa Pamoja.Picha na Vero Ignatus Blog
Msemaji wa timu ya Songa akizungumza na waandishi wa habari.Picha na Vero Ignatus Blog
![]() |
| Kocha wa Songa Fc akizungumza na waandishi wa habari Mara baada ya mechi hiyo kumalizika na timu hiyo kuibuka kidedea.Picha na Vero Ignatus Blog. |
![]() |
| Mwamuzi wa mchezo huo bi Salma omary mndaira akiwa tayari kikazi zaidi |
![]() |
| Kutoka kushoto ni kocha wa Songa Fc bwana akiwa Pamoja na meneja wa timu hiyo bwana wakiendelea kufuatilia mechi ikiendelea uwanjani.Picha na Vero Ignatus Blog. |








No comments