Nick Vujicic
Nick Vujicic

Chanzo cha picha,Getty Images
Nick Vijicic ambaye alizaliwa bila miguu na mikono nchini Australia ni mtoto wa wahamiaji wa Serbia. Hali ya Nick Vujicic inajulikana kama ugonjwa wa tetra amelia. Anasema makuzi yake nchini Australia uligubikwa na uonevu, ubaguzi, na ugumu wa maisha - hadi kufikia hatua ambapo alijaribu kujiua ili kuepuka unyanyasaji.
Njiani, Vujicic alibadilisha vizuizi vya maisha yake kuwa fursa za kuzungumza kwa motisha na kuwatia moyo watu wengine. Kupitia hotuba na vitabu vyake, Vujicic anaeneza ujumbe wa matumaini, uthabiti, na nguvu ya mtazamo chanya katika kushinda dhiki.
No comments