DKT. MPANGO AFUNGUA JUKWAA LA 24 NA MKUTANO WA 35 WA UNFCCC MKOANI ARUSHA

DKT.  MPANGO AFUNGUA JUKWAA LA 24 NA MKUTANO WA 35 WA UNFCCC MKOANI ARUSHA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango pamoja na viongozi na washiriki mbalimbali wakiimba Wimbo wa Taifa wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa 35 wa Kamati ya Kudumu ya Fedha ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC). Tarehe 02 Septemba 2024.

 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akishiriki katika U

adbanner

No comments