BASI LAPARAMIA KITUO CHA MABASI YAENDAYO KASI ENEO LA KIMARA JIJINI DAR USIKU HUU
Saturday, 26 March 2016
BASI LAPARAMIA KITUO CHA MABASI YAENDAYO KASI ENEO LA KIMARA JIJINI DAR USIKU HUU
Basi la kampuni la pricess Muro limeparamia kibanda chamabasi yaaendayo kasi kilichopo Kimara Jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati likiingia mjini kutoka mkoani .Hadi sasa chanzo cha ajali hiyo hakijafahamika.
No comments